Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akishangilia baada ya kufunga bao lake la 20 katika Ligi Kuu ya England msimu huu katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Aston Villa Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya City yalifungwa na Aleksandar Kolarov na Fernandinho, wakati wa Villa yalifungwa na Tom Cleverley na Carlos Sanchez. Matokeo hayo yanaipandisha timu ya Manuel Pellegrini juu ya Manchester United na Arsenal nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu.
PRESS RELEASE: Institution of Engineers Rwanda (IER) holds extraordinary
General Assembly (Thursday May 26, 2022)
-
On Thursday, May 26, an extraordinary meeting of the General Assembly of
the Institution of Engineers (IER) took place in Kigali, and discussed
various p...
Dakika 20 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni