Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akishangilia baada ya kufunga bao lake la 20 katika Ligi Kuu ya England msimu huu katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Aston Villa Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya City yalifungwa na Aleksandar Kolarov na Fernandinho, wakati wa Villa yalifungwa na Tom Cleverley na Carlos Sanchez. Matokeo hayo yanaipandisha timu ya Manuel Pellegrini juu ya Manchester United na Arsenal nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu.
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
10 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment