Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akishangilia baada ya kufunga bao lake la 20 katika Ligi Kuu ya England msimu huu katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Aston Villa Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya City yalifungwa na Aleksandar Kolarov na Fernandinho, wakati wa Villa yalifungwa na Tom Cleverley na Carlos Sanchez. Matokeo hayo yanaipandisha timu ya Manuel Pellegrini juu ya Manchester United na Arsenal nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu.
Nato says 'no provision' to expel members after report US could seek to
suspend Spain
-
An internal Pentagon email reportedly outlines options to punish allies
over a perceived lack of support for Iran war.
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment