Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akishangilia baada ya kufunga bao lake la 20 katika Ligi Kuu ya England msimu huu katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Aston Villa Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya City yalifungwa na Aleksandar Kolarov na Fernandinho, wakati wa Villa yalifungwa na Tom Cleverley na Carlos Sanchez. Matokeo hayo yanaipandisha timu ya Manuel Pellegrini juu ya Manchester United na Arsenal nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu.
West Ham 2-2 Brentford (pens 5-3): Hammers earn FA Cup quarter-final spot
after nerve-wracking clash - after Dango Ouattara hits EMBARRASSING
spot-kick
-
LUKE POWER AT THE LONDON STADIUM: West Ham booked their place in the
quarter-finals of the FA Cup for the first time in a decade - and had a
woeful Panenka...
30 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment