BARCA WAITAFUNA UPANDE WA PILI PSG, WATINGA NNE BORA ULAYA KIULAINI
+16
Neymar (juu) akishangilia na Mbrazil mwenzake, Dani Alves baada ya kuifungia mabao yote Barcelona jana katika ushindi wa 2-0 dhidi ya PSG ya Ufaransa katika Robo Fainali ya pili Ligi ya Mabingwa jana Uwanja wa Camp Nou. Barca sasa inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-1, baada ya awali kushinda 3-1 Paris.
0 comments:
Post a Comment