• HABARI MPYA

    Thursday, April 09, 2015

    YANGA SC NA COASTAL UNIION 'NANE NANE' YA JANA TAIFA

    Mshambuliaji wa Yanga SC, Amisi Tambwe akimtoka beki wa Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga SC ilishinda 8-0
    Wachezaji wa Yanga SC wakifurahia ushindi wao jana
    Lango la Coastal likiwa katika majaribu jana
    Kiungoo wa Yanga SC, Salum Telela akimtoka kiungo wa Coastal Ayoub Yahya
    Amisi Tambwe akikabidhiwa mpira wake baada ya kufunga mabao manne jana

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC NA COASTAL UNIION 'NANE NANE' YA JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top