• HABARI MPYA

    Thursday, April 09, 2015

    AZAM FC NA MBEYA CITY KATIKA PICHA JANA CHAMAZI

    Kiungo wa Azam FC, Himid Mao akiteleza mbele ya beki wa Mbeya City FC, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1.
    Beki wa Azam FC, Erasto Nyoni akijaribu kupasua katikati ya mabeki wa Mbeya City
    Beki wa Azam FC, Shomary Kapombe akimtoka beki wa Mbeya City, Hamad Kibopile
    Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco akimiliki mpira mbele ya beki wa Mbeya City, Christian Sembuli
    Kiungo wa Mbeya City, Raphael Kyara akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Azam FC, Frank Domayo
    Kiungo wa Azam FC akifumua shuti ndani ya boksi la Mbeya City, huku beki Christian Sembuli akijaribu kuzuia

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC NA MBEYA CITY KATIKA PICHA JANA CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top