• HABARI MPYA

    Sunday, April 12, 2015

    NYOSSO LEO 'ATALALA NA VIATU'

    Beki na Nahodha wa Mbeya City, Juma Nyosso akimiliki mpira mbele ya winga wa Yanga SC, Simon Msuva katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo. Yanga SC ilishinda 3-1. Nyosso leo alifanya kazi mno, akiwafuata washambuliaji wote wa Yanga kugombea mipira na kuwadhibiti. 

    Hapa Nyosso (kulia) anaudhibiti mpira pembeni ya Amisi Tambwe wa Yanga

    Hapa Nyosso anateleza kuutoa mpira ili Kpah Sherman wa Yanga asiuwahi. Hakika leo Nyosso alikuwa kazini Uwanja wa Taifa na atalala hoi.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NYOSSO LEO 'ATALALA NA VIATU' Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top