• HABARI MPYA

    Sunday, April 12, 2015

    HII YA NGASSA HAIKUWA PENALTI KWELI?

    Kiungo mshambuliaji wa Yanga SC, Mrisho Ngassa akiwania mpira dhidi ya kiungo mkabaji wa Mbeya City, Kenny Ally jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Yanga ilishinda 3-1.
    Ngassa alifanikiwa kuufikia mpira na akaingia nao kwenye boksi
    Lakini kama picha inavyoonyesha Kenny Ally alimchezea rafu Ngassa

    Kipa Hannington Kalyesebula akatokea na kuwavamia kwa pamoja Ngassa na Kenny Ally, ajabu refa Mathew Akrama wa Mwanza akapiga filimbi ya kuashiria ni mchezaji wa Yanga ndiye aliyecheza faulo.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HII YA NGASSA HAIKUWA PENALTI KWELI? Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top