Jordan Spieth ameshinda taji lake la kwanza kabisa la gofu katika Masters huko Augusta jana baada ya kuwaangusha Justin Rose na Phil Mickelson na kuweka rekodi ya kijana mdogo (miaka 21) zaidi kutwaa taji hilo tangu Tiger Woods mwaka 1997.
Kinda huyo wa miaka 21 akivalishwa koti la kijani kwa mara ya kwanza tangu aanze kucheza gofu, baada yaa mwaka jana kumaliza katika nafasi ya pili
PICHA ZAIDI NENDA:
http://www.dailymail.co.uk/sport/golf/article-3036168/Jordan-Spieth-wins-2015-Masters-four-shots-holding-Justin-Rose-Phil-Mickelson-complete-flawless-tournament.html#ixzz3X9vg4MbV


.png)
0 comments:
Post a Comment