• HABARI MPYA

    Thursday, March 09, 2023

    FEISAL SALUM KATIKA IBADA YA UMRA


    KIUNGO wa Yanga SC, Feisal Salum Abdallah akiwa kwenye ibada ya Hija ndogo, Umra huko Makka, Saudi Arabia. 
    Kwa sasa Feisal amesusa kuchezea Yanga akilazimisha kuondoka na baada ya kugomewa na klabu hiyo hiyo majaribio yake mengine mawili kupitia Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) yamegonga mwamba pia.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FEISAL SALUM KATIKA IBADA YA UMRA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top