• HABARI MPYA

    Wednesday, March 22, 2023

    YANGA PRINCESS YATOA SARE 1-1 NA SIMBA QUEENS


    MECHI ya watani wa jadi katika Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara imemalizika kwa sare ya kufungana bao 1-1, Simba Queens wakitangulia kwa bao la Jentrix Shikangwa kabla ya Yanga Princess kusawazisha kupitia kwa Wogu Chioma Uwanja wa Uhuru Jijijni Dar es Salaam.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA PRINCESS YATOA SARE 1-1 NA SIMBA QUEENS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top