NAHODHA mpya, Kylian Mbappe usiku wa jana amefunga mabao mawili Stade de France mjini Saint-Denis kuiwezesha Ufaransa kuitandika Uholanzi 4-0 katika mchezo wa kwanza wa Kundi B kufuzu Euro 2024 Ujerumani.
Mbappe ambaye pia ni Nahodha wa Paris Saint-Germain alifunga mabao yake dakika ya 21 na 88, wakati mabao mengine yamefungwa na Antoine Griezmann dakika ya pili na Dayot Upamecano dakika ya nane.
0 comments:
Post a Comment