// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MCTOMINAY APIGA MBILI SCOTLAND YAICHAPA HISPANIA 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MCTOMINAY APIGA MBILI SCOTLAND YAICHAPA HISPANIA 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, March 29, 2023

    MCTOMINAY APIGA MBILI SCOTLAND YAICHAPA HISPANIA 2-0


    KIUNGO wa Manchester United, Scott McTominay jana alifunga mabao yote mawili dakika ya saba na 51 kuiwezesha Scotland kushinda 2-0 dhidi ya Hispania Uwanja wa Hampden Park Jijini Glasgow katika mchezo wa Kundi A kufuzu Euro ya mwakani Ujerumani.
    McTominay anafikisha mabao manne ndani ya mechi mbili tu za mwanzo za Kundi A kufuzu Euro baada ya kuwafunga pia na Cyprus katika ushindi wa 3-0 kwenye mechi ya kwanza.
    Hii ni mara ya kwanza kwa Scotland kuifunga Hispania tangu mwaka 1984.
    Kwa Hispania hii ni mechi ya nane tu ya kufuzu wanafungwa kihistoria, iwe kwenye Kombe la Ulaya au Kombe la Dunia.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MCTOMINAY APIGA MBILI SCOTLAND YAICHAPA HISPANIA 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top