• HABARI MPYA

    Sunday, March 19, 2023

    TAIFA STARS YAIFUATA UGANDA MECHI YA KUFUZU AFCON


    WACHEZAJI wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiwa kwenye ndege wakati wa safari ya kwenda Misri kwa ajili ya mchezo wa kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika dhidi ya wenyeji, wahamiaji Uganda Ijumaa Jijini Cairo. 



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TAIFA STARS YAIFUATA UGANDA MECHI YA KUFUZU AFCON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top