• HABARI MPYA

    Tuesday, March 28, 2023

    KAPTENI MPYA, MBAPPE AIONGOZA UFARANSA KUSHINDA TENA

    BAO pekee la Benjamin Pavard dakika ya 50 jana liliipa Ufaransa ushindi wa pili mfululizo 1-0 dhidi ya Jamhuri ya Ireland Uwanja wa Aviva mjini Dublin katika mechi ya Kundi B kufuzu Euro 2024.
    Ulikuwa mchezo wa pili mfululizo timu ikicheza na kushinda chini ya Nahodha mpya, Kylian Mbappe baada ya Machi 24 kuichapa Uholanzi 4-0 kwenye mechi ya kwanza ya kundi hilo.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KAPTENI MPYA, MBAPPE AIONGOZA UFARANSA KUSHINDA TENA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top