BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imekutana na Wenyeviti wa klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara kujadili masuala mbalimbali yahusuyo maendeleo ya Ligi hiyo.
Kikao hicho kimefanyika leo Machi 26, 2023 kwenye ukumbi wa mikutano wa TPLB uliopo Ilala, Dar es Salaam na miongoni mwa waliohudhuria ni Rais wa Yanga, Hersi Ally Said na Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Ally Mangungu.
0 comments:
Post a Comment