UONGOZI wa klabu ya Yanga umeachana na Kocha Mkuu wa timu ya wanawake, Thobias Nkoma na kwa sasa kikosi kitakuwa chini ya aliyekuwa Msaidizi wake, Freddy Mbuna. Hatua inachukuliwa kutokana na matokeo yasiyoridhisha ya timu hiyo katika Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara licha ya kile ambacho uongozi unaamini uwekezaji mkubwa walioufanya kikosini. Kwa sasa Yanga Princess inashika nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi ya Wanawake kwa pointi zake 22, nyuma ya watani, Simba Queens 27, JKT Queens 28 na Fountain Gate Princess 29 baada ya wote kucheza mechi 12.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment