UONGOZI wa klabu ya Yanga umeachana na Kocha Mkuu wa timu ya wanawake, Thobias Nkoma na kwa sasa kikosi kitakuwa chini ya aliyekuwa Msaidizi wake, Freddy Mbuna. Hatua inachukuliwa kutokana na matokeo yasiyoridhisha ya timu hiyo katika Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara licha ya kile ambacho uongozi unaamini uwekezaji mkubwa walioufanya kikosini. Kwa sasa Yanga Princess inashika nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi ya Wanawake kwa pointi zake 22, nyuma ya watani, Simba Queens 27, JKT Queens 28 na Fountain Gate Princess 29 baada ya wote kucheza mechi 12.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment