WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Pindu Chana akimkabidhi Nahodha wa Yanga SC, Bakari Nondo Mwamnyeto Sh. Milioni 10 ambazo ni utekelezaji wa ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan.
WAZIRI WA MICHEZO ALIVYOWAKABIDHI YANGA MAMILIONI YA RAIS SAMIA
WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Pindu Chana akimkabidhi Nahodha wa Yanga SC, Bakari Nondo Mwamnyeto Sh. Milioni 10 ambazo ni utekelezaji wa ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan.
0 comments:
Post a Comment