• HABARI MPYA

    Friday, March 24, 2023

    LIGI YA ZANZIBAR YAUPISHA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN

    SHIRIKISHO la Soka Zanzibar (ZFF) limesimamisha Ligi Kuu ya Zanzibar kupisha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. 
    Mtendaji Mkuu Bodi ya Ligi Zanzibar, Hashim Salum amesema Ligi hiyo maarufu kama PBZ Premier League inasimama rasmi kuanzia jana kupisha mwezi Mtukufu wa Ramadhan na itarejea Mei 6, mwaka huu.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIGI YA ZANZIBAR YAUPISHA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top