// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
AZAM FC YAICHAPA JKU 2-0 MECHI YA KIRAFIKI CHAMAZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEAZAM FC YAICHAPA JKU 2-0 MECHI YA KIRAFIKI CHAMAZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
AZAM FC YAICHAPA JKU 2-0 MECHI YA KIRAFIKI CHAMAZI
WENYEJI, Azam FC jana wamepata ushindi wa 2-0 dhidi ya JKU ya Zanzibar mabao ya Mkongo Idris Mbombo na mzawa, Yahya Zayid katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment