KATIKA ukurasa wake rasmi wa Instagram, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeposti idadi ya wachezaji wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara walioitwa kwenye timu za zao Taifa.
Katika orodha hiyo kwa ajili ya mechi za kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), mabingwa wa Ligi Kuu, Yanga wanaongoza kwa kutoa jumla ya wachezaji 12, wakifuatiwa na watani, Simba 10.
0 comments:
Post a Comment