• HABARI MPYA

    Wednesday, December 02, 2020

    MAKANDARASI WANAOWANIA TENDA YA UJENZI YANGA SC WALIPOZURU ENEO LA MRADI KIGAMBONI LEO

    Wakandarasi kutoka makampuni zaidi ya 10 wakiwa kwenye eneo la Yanga Kigamboni, Dar es Salaam walipotembelea ili kujionea hali halisi ya mazingira tayari kwa utekelezaji wa ujenzi wa viwanja vya mazoezi na hosteli za wachezaji mara tu mshindi wa tenda atakapotangazwa.






    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAKANDARASI WANAOWANIA TENDA YA UJENZI YANGA SC WALIPOZURU ENEO LA MRADI KIGAMBONI LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top