Liverpool imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na wenyeji, Midtjylland katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa MCH Arena Jijini Herning. Mmisri Mohamed Salah alianza kuifungia Liverpool dakika ya kwanza kabla ya Alexander Scholz kuisawazishia Midtjylland kwa penalti dakika ya 62.
Kwa matokeo hayo, Liverpool inamaliza na pointi 13, mbili zaidi ya Atalanta na zote zinakwenda Hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment