• HABARI MPYA

    Friday, December 25, 2020

    SIMBA SC WAREJEA DAR TAYARI KUJIPANGA KWA MCHEZO WA MARUDINO DHIDI YA FC PLATINUMS JANUARI 6


    KIKOSI cha Simba SC kimerejea leo Dar es Salaam kutoka Zimbabwe ambako Jumatano walichapwa 1-0 na wenyeji, FC Platinums jana Uwanja wa Taifa wa Harare katika mchezo wa kwanza Hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa.

    Simba SC inaelekeza nguvu zake katika mchezo wa marudiano Januari 6 Uwanja wa Mkapa – ikihitaji ushindi wa 2-0 ili kuingia hatua ya makundi.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC WAREJEA DAR TAYARI KUJIPANGA KWA MCHEZO WA MARUDINO DHIDI YA FC PLATINUMS JANUARI 6 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top