// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MTOTO WA KWANZA WA WAYNE ROONEY ASAINI MANCHESTER UNITED - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMTOTO WA KWANZA WA WAYNE ROONEY ASAINI MANCHESTER UNITED - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MTOTO WA KWANZA WA WAYNE ROONEY ASAINI MANCHESTER UNITED
MTOTO mkubwa wa Nahodha wa zamaani wa Manchester united, Wayne Rooney, Kai amesaini mkataba wa kujiunga na timu ya vijana ya klabu hiyo. Rooney ameposti picha akiwa na mkewe, Coleen wakimshuhudia mtoto wao wa umri wa miaka 11, Kai akisaini.
Katika miaka yake 13 ya kuwa na Mashetani hao Wekundu, Rooney ameweka rekodi ya Ufungaji Bora wa muda wote wa klabu kwa mabao yake 253, akiiwezesha timu kushinda mataji matano ya Ligi Kuu, moja la Champions League na mengineyoPICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rivers: Ibas moves to restore peace
-
• Meets monarchs, council chiefs • Pleads for deescalation of tension
From Tony John, Port Harcourt There was uneasy calm in Rivers State
yesterday as ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment