• HABARI MPYA

    Monday, December 14, 2020

    SALAH AISAWAZISHA LIVERPOOL KWA PENALTI YATOA SARE NA FULHAM


    Mshambuliaji Mmisri, Mohamed Salah akiifungia bao la kusawazisha Liverpool kwa penalti dakika ya 79 baada ya Bobby Decordova-Reid kuanza kuwafungia Fulham dakika ya 25 katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Craven Cottage, London
     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SALAH AISAWAZISHA LIVERPOOL KWA PENALTI YATOA SARE NA FULHAM Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top