• HABARI MPYA

    Friday, December 18, 2020

    KIUNGO MKONGWE, MNYARWANDA HARUNA NIYONZIMA ASAINI MKATABA WA KUENDELEA NA KAZI YANGA

     

    Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Yanga SC, Mhandisi Hersi Said akiwa na kiungo wa kimataifa wa Rwanda, Haruna Niyonzima baada ya mchezaji huyo kusaini mkataba mpya wa kuendelea kufanya kazi Jangwani

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIUNGO MKONGWE, MNYARWANDA HARUNA NIYONZIMA ASAINI MKATABA WA KUENDELEA NA KAZI YANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top