• HABARI MPYA

    Friday, December 11, 2020

    KOCHA MPYA, MZAMBIA GEORGE LWANDAMINA AANZA KAZI YA KUKINOA KIKOSI CHA AZAM FC CHAMAZI

    Kocha mpya wa Azam FC, George Lwandamina 'Chicken', jana ameanza rasmi ya kufundisha timu hiyo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam kufuatia kusiani mkataba wa mwaka mmoja.

    Lwandamina kabla ya kuanza majukumu yake hayo, alikuwa akiwamulika wachezaji wake mazoezini na kwenye mechi mbili zilizopita (Biashara United, Gwambina) ili kuwafahamu. 






    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KOCHA MPYA, MZAMBIA GEORGE LWANDAMINA AANZA KAZI YA KUKINOA KIKOSI CHA AZAM FC CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top