• HABARI MPYA

    Thursday, December 10, 2020

    BODI YA LIGI YAANDAA WARSHA MAALUM KUWAJENGEA UWEZO MAKATIBU NA WATENDAJI WA KLABU

     














    BODI ya Ligi Tanzania (TPLB) imeandaa warsha ya siku tatu kwa ajili ya kuwajengea uwezo Watendaji na Makatibu Wakuu wa klabu za Ligi Kuu ambayo itaendeshwa na wataalamu wa La Liga.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BODI YA LIGI YAANDAA WARSHA MAALUM KUWAJENGEA UWEZO MAKATIBU NA WATENDAJI WA KLABU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top