• HABARI MPYA

    Sunday, December 13, 2020

    MSUVA ATOKEA BENCHI WYDAD CASABLANCA YACHAPWA 2-1 NA OLYMPIC SAFI LIGI YA MOROCCO


    Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva wa Wydad Athletics akijaribu kupiga mpira mbele ya beki wa Olympic Safi katika mchezo wa Ligi Kuu ya Morocco, maarufu kama Botola Pro jana Uwanja wa El Massira mjini Safi. Olympic Safi ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Thierry Kassi dakika ya 26 na Mehdi Zaya dakika ya 76, wakati la Wydad lilifungwa na Muaid Ellafi dakika ya 55.

    Simon Msuva aliingia akitokea benchi akiichezea kwa mara ya kwanza klabu yake, mpya Wydad aliyojiunga nayo mwezi huu akitokea Difaa Hassan El-Jadidi ya Morocco pia

     



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MSUVA ATOKEA BENCHI WYDAD CASABLANCA YACHAPWA 2-1 NA OLYMPIC SAFI LIGI YA MOROCCO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top