MUARGENTINA Lionel Messi amefikisha mabao 644 baada ya kufunga katika ushindi wa 3-0 wa Barcelona dhidi ya Real Valladolid kwenye LaLiga Uwanja wa Manispaa ya Jose Zorrill, hivyo kumpiku Pele aliyefunga mabao 643 Santos ya kwao, Brazil.
Messi alijiunga na Barcelona akiwa ana umri wa miaka 13 na akaanza kucheza mechi mashindano akiwa na miaka 17 , wakati Pele aliichezea Santos kuanzia mwaka 1956 hadi 1974 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment