// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MESSI AMPIKU PELE KWA MABAO BARCELONA IKISHINDA 3-0 LA LIGA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMESSI AMPIKU PELE KWA MABAO BARCELONA IKISHINDA 3-0 LA LIGA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MESSI AMPIKU PELE KWA MABAO BARCELONA IKISHINDA 3-0 LA LIGA
MUARGENTINA Lionel Messi amefikisha mabao 644 baada ya kufunga katika ushindi wa 3-0 wa Barcelona dhidi ya Real Valladolid kwenye LaLiga Uwanja wa Manispaa ya Jose Zorrill, hivyo kumpiku Pele aliyefunga mabao 643 Santos ya kwao, Brazil. Messi alijiunga na Barcelona akiwa ana umri wa miaka 13 na akaanza kucheza mechi mashindano akiwa na miaka 17 , wakati Pele aliichezea Santos kuanzia mwaka 1956 hadi 1974PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment