TIMU ya Wolverhampton Wanderers jana imeichapa Chelsea 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Molineux, West Midlands.
Mabao ya Wolves jana yalifungwa na Daniel Podence dakika ya 66 na Pedro Neto dakika ya 90 na ushei, kufuatia Olivier Giroud kuanza kuwafungia Chelsea dakika ya 49, hicho kikiwa kipigo cha pili ndani ya siku nne baada ya Jumamosi kuchapwa 1-0 na Aston Villa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment