Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Serge Gnabry akishangilia baada ya kufungia Bayern Munich mabao manne dakika za 53, 55, 83 na 88 katika ushindi wa 7-2 dhidi ya wenyeji Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao mengine ya Bayern Munich yalifungwa na Joshua Kimmich dakika ya 15 na Robert Lewandowski 45 na 87 wakati ya Spurs yalifungwa na Son Heung-Min dakika ya 12 na Harry Kane kwa penalti dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Renewed Hope: Tinubu has incorporated parts of MKO Abiola’s social roadmap
-
Twenty-eight years after he died in detention for his steadfast stand
against the annulment of the June 12, 1993 presidential election which he
won, Chie...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment