Nicolas Pepe usiku wa jana amefunga mabao mawili kwa mashuti ya mpira wa adhabu dakika ya 80 na 90 na ushei na kuiwezesha Arsenal kutoka nyuma na kushinda 3-2 dhidi ya Vitoria Guimaraes kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Gabriel Martinelli dakika ya 32, wakati ya Vitoria Guimaraes yalifungwa na Marcus Edwards dakika ya nane na Bruno Duarte dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pasqal CEO: Aramco deal shows quantum computing moving from research to
reality
-
Investing.com -- Pasqal, the neutral-atom quantum computing company
preparing to go public via SPAC merger with Bleichroeder Acquisition Corp.
II (NASDAQ: ...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment