• HABARI MPYA

    Tuesday, October 22, 2019

    ARSENAL HOI BRAMALL, YACHAPWA 1-0 SHEFFIELD UNITED LIGI YA ENGLAND

    Wachezaji wa Arsenal, Calum Chambers, David Luiz na Sokratis Papastathopoulos wakiwa wanyonge baada ya kuruhusu bao la Lys Mousset dakika ya 30 wakifungwa 1-0 na wenyeji, Sheffield United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Bramall Lane mjini Sheffield 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL HOI BRAMALL, YACHAPWA 1-0 SHEFFIELD UNITED LIGI YA ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top