Wachezaji wa Arsenal, Calum Chambers, David Luiz na Sokratis Papastathopoulos wakiwa wanyonge baada ya kuruhusu bao la Lys Mousset dakika ya 30 wakifungwa 1-0 na wenyeji, Sheffield United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Bramall Lane mjini Sheffield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tuesday, October 22, 2019
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



.png)
0 comments:
Post a Comment