• HABARI MPYA

    Wednesday, October 23, 2019

    TONI KROOS APIGA BAO LA UGENINI REAL MADRID YANG'ARA ULAYA

    Toni Kroos akishangilia na wachezaji wenzake, Marcelo na Eden Hazard baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 18 katika ushindi wa 1-0 wa ugenini dhidi ya wenyeji, Galatasaray usiku wa jana Uwanja wa Turk Telekom mjini İstanbul 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TONI KROOS APIGA BAO LA UGENINI REAL MADRID YANG'ARA ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top