• HABARI MPYA

    Friday, October 25, 2019

    MAN UNITED YASHINDA MECHI YA KWANZA UGENINI TANGU MACHI

    Anthony Martial akishangilia kibabe na wenzake baada ya kuifungia Manchester United bao pekee kwa penalti dakika ya 43 ikiibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Partizan Belgrade katika mchezo wa Kundi L UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Partizana mjini Belgrade huo ukiwa ushindi wa kwanza wa ugenini tangu mwezi Machi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED YASHINDA MECHI YA KWANZA UGENINI TANGU MACHI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top