MAN UNITED YASHINDA MECHI YA KWANZA UGENINI TANGU MACHI
Anthony Martial akishangilia kibabe na wenzake baada ya kuifungia Manchester United bao pekee kwa penalti dakika ya 43 ikiibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Partizan Belgrade katika mchezo wa Kundi L UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Partizana mjini Belgrade huo ukiwa ushindi wa kwanza wa ugenini tangu mwezi Machi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal set to make improved Raphinha bid
-
Arsenal are expected to make an improved bid for Leeds
United forward Raphinha. Arsenal's opening bid for Raphinha was rejected as
it fell below Leeds' val...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni