Son Heung-min akifurahia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 16 na 44 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Red Star Belgrade kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao mengine ya Spours yalifungwa na Harry Kane mawili pia dakika ya tisa na 72 na Erik Lamela dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Rumors: 76ers Didn't File Formal Protest over Officiating After G2 Loss
to Knicks
-
The Philadelphia 76ers declared their intentions to file a grievance with
the NBA over the officiating in the first two games of their first-round
playoff…
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment