Son Heung-min akifurahia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 16 na 44 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Red Star Belgrade kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao mengine ya Spours yalifungwa na Harry Kane mawili pia dakika ya tisa na 72 na Erik Lamela dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League refers Everton over finances
-
Everton have been referred to an independent commission by the Premier
League over an alleged breach of its profitability and sustainability rules.
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment