Beki Mgiriki wa Arsenal, Sokratis Papastathopoulos akilalamika baada ya kukataliwa bao lake dakika za mwishoni kufuatia refa Martin Atkinson kutazama marudio ya picha za video (VAR) wakitoa sare ya 2-2 na Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates. Mabao ya Arsenal yamefungwa na Papastathopoulos dakika ya saba na beki mwingine, Mbrazil David Luiz dakika ya tisa, wakati ya Crystal Palace yamefungwa na Luka Milivojevic kwa penalti dakika ya 32 na Jordan Ayew dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Liverpool star Fernando Torres mourns the death of his father as he
is flooded with messages of support from his former team-mates
-
Fernando Torres has been flooded with messages of support after announcing
that his father, Jose, has died in a post on social media.
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment