Sergio Aguero na Nicolas Otamendi (kulia) wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-1 wa Manchester City dhidi ya Southampton kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Ligi England usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Aguero aliyefikisha mechi 350 Manchester City jana, alifunga mabao yake dakika ya 38 na 56 baada ya Otamendi kufunga la kwanza dakika ya 20 kabla ya Jack Stephens kuifungia Southampton la kufutia machozi dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roof of tutoring center collapses in eastern Pakistan, killing at least 14
children
-
LAHORE, Pakistan (AP) — A roof collapse at a tutoring center
under-construction in Pakistan’s eastern city of Lahore on Tuesday killed
at least 14 schoolch...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment