Sergio Aguero na Nicolas Otamendi (kulia) wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-1 wa Manchester City dhidi ya Southampton kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Ligi England usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Aguero aliyefikisha mechi 350 Manchester City jana, alifunga mabao yake dakika ya 38 na 56 baada ya Otamendi kufunga la kwanza dakika ya 20 kabla ya Jack Stephens kuifungia Southampton la kufutia machozi dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Israel Adesanya on Jared Cannonier Win: 'I Still F--ked Him Up' Despite 'off Night'
-
Israel Adesanya earned a decisive win over Jared Cannonier at UFC 276 on
Saturday, yet the middleweight champion thought he had an "off night." "And
still,...
Dakika 35 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni