Sergio Aguero na Nicolas Otamendi (kulia) wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-1 wa Manchester City dhidi ya Southampton kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Ligi England usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Aguero aliyefikisha mechi 350 Manchester City jana, alifunga mabao yake dakika ya 38 na 56 baada ya Otamendi kufunga la kwanza dakika ya 20 kabla ya Jack Stephens kuifungia Southampton la kufutia machozi dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Udinese plan €6m Ugresic offer as bidding war hots up
-
Udinese are in a bidding war for Partizan Belgrade midfielder Ognjen
Ugresic at €6m, competing with Sassuolo, Bologna, Club Brugge, Eintracht
Frankfurt and...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment