Angel di Maria akimtungua Walter Benitez kuifungia Paris Saint Germain bao la kwanza dakika ya 15 kabla ya kufunga la pili dakika ya 21 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Nice kwenye mchezo wa Ligi ya Ufaransa, Ligue 1 usiku wa jana Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice. Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Kylian Mbappe dakika ya 88 na Mauro Icardi dakika ya 90 na ushei, wakati la Nice lilifungwa na Ignatius Ganago dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Seahawks' Sam Howell Says He's 'Got to Be Smarter' with INTs After
Commanders Trade
-
Seattle Seahawks quarterback Sam Howell said he has "got to be smarter"
after throwing a NFL-high 21 interceptions for the Washington Commanders
last season.…
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment