Wachezaji wa Manchester City wakimpongeza mwenzao, David Silva baada ya kufunga bao la pili dakika ya 41, kufuatia Gabriel Jesus kufunga la kwanza dakika ya 39 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Crystal Palace leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Selhurst Park mjini London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alec Pierce, Colts reportedly agree to 4-year, $116 million deal ahead of
free agency
-
Pierce was considered among the top available wide receivers in this year's
free agency class.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment