Kinda Mbrazil, Rodrygo Silva de Goes aliyeoandishwa kutoka timu B akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la kwanza dakika ya saba katika ushindi 5-0 dhidi ya Leganes kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabéu. Mabao mengine ya Real yalifungwa na T. Kroos dakika ya nane, Nahodha Sergio Ramos kwa penalti dakika ya 24, mkongwe Karim Benzema kwa penalti pia dakika ya 69 na Luka Jovic dakika ya 90 na ushei na kwa ushindi huo kikosi cha kocha Zinadine Zidane kinafikisha pointi 21 katika mchezo wa 10, sasa kikizidiwa pointi moja na vinara, Barcelona amabo pia ni mabingwa watetezi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft Rumors: Drake Maye Will 'Be No Worse' Than No. 3 Pick amid
Patriots Buzz
-
Less than one week away from the start of the 2024 NFL draft, Drake Maye's
stock appears to be trending up. Per ESPN's Matt Miller, the feeling among
people…
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment