Kinda Mbrazil, Rodrygo Silva de Goes aliyeoandishwa kutoka timu B akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la kwanza dakika ya saba katika ushindi 5-0 dhidi ya Leganes kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabéu. Mabao mengine ya Real yalifungwa na T. Kroos dakika ya nane, Nahodha Sergio Ramos kwa penalti dakika ya 24, mkongwe Karim Benzema kwa penalti pia dakika ya 69 na Luka Jovic dakika ya 90 na ushei na kwa ushindi huo kikosi cha kocha Zinadine Zidane kinafikisha pointi 21 katika mchezo wa 10, sasa kikizidiwa pointi moja na vinara, Barcelona amabo pia ni mabingwa watetezi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City host Liverpool, Port Vale face Chelsea - full FA Cup draw
-
League One Port Vale's reward for beating Sunderland in the FA Cup is a
quarter-final tie away to Chelsea, while Manchester City will host
Liverpool in a h...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment