Kylian Mbappe (kulia) akishangilia na Mauro Icardi (kushoto) baada ya kuifungia Paris Saint Germain mabao matatu dakika za 61, 79 na 83 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji, Club Brugge kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Jan Breydel mjini Brugge. Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Icardi dakika ya saba na ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England's Cokayne returns for Grand Slam decider
-
England make two injury-enforced changes to face France in their Grand Slam
decider on Saturday in Bordeaux.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment