Wachezaji wa Manchester United wakipongezana kwa ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Norwich City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Carrow Road, mabao ya Scott McTominay dakika ya 21, Marcus Rashford dakika ya 30 na Anthony Martial dakika ya 73 dhidi ya moja la Onel Hernandez dakika ya 88. Kikosi cha Ole Gunnar Solskjaer kingeondoka na ushindi mkubwa zaidi kama si Rashford na Martial kukosa penalti 29 na 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
At UN ocean Confab, Buhari commits to reduce marine plastic pollution
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja President Muhammadu Buhari has pledged
Nigeria’s commitment to an international legally binding instrument to
reduce t...
Dakika 29 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni