Marcus Rashford akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester United dakika ya 73 ikiwalaza wenyeji, Chelsea 2-1 katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Rashford pia ndiye aliyefunga bao la kwanza la Man United dakika ya 25 kwa penalti, baada ya Daniel James kuchezewa rafu na Marcos Alonso, lakini Michy Batshuayi akaisawazishia Chelsea dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roof of tutoring center collapses in eastern Pakistan, killing at least 14
children
-
LAHORE, Pakistan (AP) — A roof collapse at a tutoring center
under-construction in Pakistan’s eastern city of Lahore on Tuesday killed
at least 14 schoolch...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment