Mshambuliaji Muargentina, Paulo Dybala akishangilia baada ya kuifungia mabao yote mawili Juventus dakika za 77 na 79 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Lokomotiv Moscow kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Bao la Lokomotiv Moscow lilifungwa na Aleksey Miranchuk dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ja Morant to Portland, NBA rumor mill is churning + WNBA Commissioner's Cup
final check-in
-
Nekias Duncan and Steve Jones break down Ja Morant heading to the Trail
Blazers, the latest with the NBA trade rumor mill and preview the WNBA
Commissioner...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment