• HABARI MPYA

    Monday, October 14, 2019

    SHIBOUB AIFUNGIA SIMBA SC BAO PEKEE IKIWACHAPA MASHUJAA 1-0 KIGOMA


    Nyota Msudan, Sharaf Eldin Shiboub akipiga saluti kushangilia baada ya kuifungia Simba SC bao pekee dakika ya 56 akimalizia kazi nzuri ya kiungo mwenzake, Mkongo Deo Kanda katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Mashujaa FC kwenye mchezo wa kirafiki jioni ya leo Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma    
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SHIBOUB AIFUNGIA SIMBA SC BAO PEKEE IKIWACHAPA MASHUJAA 1-0 KIGOMA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top