Mshambuliaji Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 66, zikiwa ni dakika 10 tu tangu aingie kuchukua nafasi ya Bernardo Silva kabla ya Phil Foden kufunga la pili dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Dinamo Zagreb kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Etihad PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Auckland FC vs Tottenham - pre-season friendly LIVE: Roberto De Zerbi names
youthful side for first preseason game Down Under
-
Follow Daily Mail's live coverage for the latest updates of Tottenham
Hotspur's pre-season match with Auckland FC in New Zealand.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment