Mshambuliaji Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 66, zikiwa ni dakika 10 tu tangu aingie kuchukua nafasi ya Bernardo Silva kabla ya Phil Foden kufunga la pili dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Dinamo Zagreb kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Etihad PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Heartbreaking video emerges of cricket star Josh Baker taking three wickets
in his last match just hours before his death aged 20
-
The cricket world was sent into shock on Thursday when Baker's club
revealed the 20-year-old had passed away before tributes began to flow in
for the talen...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment