Kiungo Mmarekani, Christian Pulisic akishangilia baada ya kufunga mabao matatu dakika za 21, 45 na 56 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Burnley leo Uwanja wa Turf Moor. Bao lingine la The Blues limefungwa na Willian 58, wakati ya Burnley yamefungwa na Jay Rodriguez dakika ya 86 na Dwight McNeil dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
No. 1 UNC Upset by Alabama in Sweet 16 as March Madness Fans Criticize RJ
Davis
-
RJ Davis had been one of the best players in college basketball all season,
but on Thursday his shot wasn't falling as No. 4 Alabama beat No. 1 North
Carol...
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment