Kiungo Mmarekani, Christian Pulisic akishangilia baada ya kufunga mabao matatu dakika za 21, 45 na 56 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Burnley leo Uwanja wa Turf Moor. Bao lingine la The Blues limefungwa na Willian 58, wakati ya Burnley yamefungwa na Jay Rodriguez dakika ya 86 na Dwight McNeil dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ghanaian midfielder Isaac Cofie eyes Turkish Cup victory with Sivasspor
-
Ghanaian midfielder Isaac Cofie is expected to play a key role for
Sivasspor in Wednesday's Turkish Cup final against Kayserispor.After
failing to qualify ...
Dakika 29 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni