Andrea Belotti akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Italia mabao mawili dakika za 70 na 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji, Liechtenstein kwenye mchezo wa Kundi J kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Rheinpark mjini Vaduz. Mabao mengine ya Italia yalifungwa na Federico Bernardeschi dakika ya pili, Alessio Romagnoli dakika ya 77 na Stephan El Shaarawy dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Typhoon Bavi weakens but still brings strong winds and rain to China
-
BEIJING (AP) — Typhoon Bavi weakened to a tropical storm on Sunday, hours
after making landfall in eastern China 's Zhejiang province, but was still
bringi...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment