Andrea Belotti akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Italia mabao mawili dakika za 70 na 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji, Liechtenstein kwenye mchezo wa Kundi J kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Rheinpark mjini Vaduz. Mabao mengine ya Italia yalifungwa na Federico Bernardeschi dakika ya pili, Alessio Romagnoli dakika ya 77 na Stephan El Shaarawy dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United star Mason Mount is spotted walking with a mystery blonde woman
in Altrincham... before midfielder finds parking ticket on his £120,000
Land Rover
-
The Manchester United midfielder has endured a frustrating debut season at
Old Trafford following a £60million summer move from Chelsea. He was
pictured ou...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment