Wachezaji wa Uturuki wakipiga saluti kushangilia bao la kusawazisha lililofungwa na Kaan Ayhan dakika ya 81 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Ufaransa waliotangulia kwa bao la Olivier Giroud dakika ya 76 kwenye mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Stade de France mjini Paris PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tim Tszyu is left stunned by his giant opponent's 's**t' act just before
their world title fight: 'Professionals don't do that'
-
The Aussie will be giving away an amazing 23cm in height to his 197cm
rival, not to mention a huge reach advantage. But a detail in the
American's preparat...
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment